 |
TUFUNDISHE Kigazeti
Nani Alisema Haya? |
Jina la Mchezo: “NANI ALISEMA HAYA?
Timu itakayo jibu kwa usahihi, watu waliyosema maneno hayo zaidi ya
timu nyingine ndiyo washindi.
1. “Njooni kwangu nyote msumbukao na kulemewa na mizigo.”
___________
2. “Nimepiga vita vilivyo vizuri.”
____________________________________
3. “Waache watu wangu waende.” ___________________________________
4. “Mungu alifanya hivi kwa nia njema.”
______________________________
5. “Inabidi yeye azidi, mimi nipungue.”
______________________________
6. “Wewe ndiye Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.”
___________________
7. “Mimi ndimi mkate wa uzimu.” ___________________________________
8. “Bwana ndiye mchungaji wangu.” _________________________________
9. “Inuka jitwike godoro lako, uende.”
_______________________________
10. “Mimi na nyumba yangu tutamtumikia Bwana.”
______________________
11. “Vua viatu vyako.” _____________________________________________
12. “Nifuateni nami nitwafanya kuwa wavuvi wa watu.”
__________________
13. “Eti hivi ndivyo alivyosema Mungu, kuwa msile matunda ya mti
wowote?”_
14. “Sema Bwana maana mtumishi wako anasikia.”
______________________
15. “Maana hivi ni vita vya Bwana, na atawatia ninyi mikononi mwetu.”
_____
TUFUNDISHE Feb/Mar 2008 Vol. 1 No. 5
Back to index
|
Majibu:
1-Yesu, 2-Paulo, 3-Musa, 4-Yusufu, 5-Yohana Mbatizaji,
6-Petro, 7-Yesu, 8-Daudi,
9-Yesu, 10-Yoshua, 11-Mungu, 12-Yesu, 13-Shetani,
14-Samweli au Eli, 15-Daud |
|